VIDEO | Utoaji wa tuzo za Ligi Kuu Tanzania bara 2015/2016


Usiku wa July 17 2016 Vodacom kwa kushirikiana na TFF walitoa zawadi za tuzo kwa washindi wa tuzo hizo ambao walikuwa wanawania, Vodacom wametoa jumla ya tuzo 13 kwa washindi wa tuzo hiyo ambayo iliambatana na pesa.

Previous
Next Post »