Manchester United kwa sasa ipo China kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu na mashindano mbalimbali, kama ilivyo kawaida kwa mashabiki wa soka wanapokutana na wachezaji au makocha wao huwa wanaomba wasainiwe vitabu vyao vya kumbukumbu au jezi.
July 22 2016 kocha wa Man United Jose Mourinho ameingia kwenye headlines baada ya kugoma kusaini jezi ya Chelsea aliyoombwa na shabiki wakati akiendelea kusaini jezi za mashabiki wa Man United, Mourinho wakati anasaini alionekana kuikwepa jezi yaChelsea huku akitikisa kichwa kuashiria kugoma.
ConversionConversion EmoticonEmoticon