
Aliwataja baadhi yao kuwa ni pamoja na Diamond, K.O, M.I, Burna Boy na Wizkid.
Kuhusu msanii mwingine wa Tanzania anayeweza kuja kufanya naye kazi kama akitaka amshirikishe, AKA alisema:Nahitaji kujifunza zaidi kuhusu wasanii wa Tanzania, najua Diamond ana msanii aitwaye Harmonize, anafanya vizuri sana hivyo pengine naweza kumsupport.”

JJ, Mtangazaji wa Jembe FM aliyemhoji AKA
Msikilize zaidi hapo chini.
ConversionConversion EmoticonEmoticon