List ya nyota watano waliotangazwa kusajiliwa na Kagera Sugar June 29 2016


Klabu ya Kagera Sugar ambayo makao makuu yake ni mkoa wa Kagera uwanja waKaitaba, usiku wa June 29 kumkia June 30 imetangaza kuwasajili nyota wapya watano kuelekea maandalizi yao ya kujenga kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi KuuTanzania bara.
Kagera Sugar kupitia account yao rasmi ya instagram wameandika ujumbe wa kuwakaribisha wachezaji watano, kwa maana ndio nyota wapya waliojiunga na kikosi hicho, nyota wapya waliotangazwa kusajiliwa ni Edward Christopher, Hassan KhateebDavid BurhanAntony Matogolo na Themmy Felix Mnyama.
kage
Previous
Next Post »