Amesema katika nyimbo zake zote, Famous aliomshirikisha P-Funk Majani, bado anaendelea kuusikia ni mpya kila anapousikia. Moe ameongeza kuwa watu wengi hata leo wameendelea kumlaumu kuwa aliupoteza bure.
“Bado ukipigwa hadi leo unasound kisasa zaidi tofauti na kama nikisema nataka kushoot ‘Kama Unataka Demu’ kuna wengine siwezi kuwapata kirahisi, lakini Famous it’s just me and P-Funk na kuonesha tu hiyo lifestyle ya Famous guy inakuaje, kwahiyo tunataka tushoot hiyo,” Jay Moe aliiambia 255 kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM.
ConversionConversion EmoticonEmoticon