Belle 9 kuachia video ya remix BMS Ijumaa hii, waongozaji 3 wamehusika


Ngoma hiyo imeshirikisha wasanii watano ambao ni pamoja na Izzo B, Jux, G-Nako, Mr Blue na Maua Sama.
Staa huyo ameiambia Bongo5 kuwa video hiyo imeguswa na waongozaji watatu ambapo muongozaji mkuu ni Mkenya, Enos Olik.
Wengine ni Hanscana na Khalfan.
13473335_254040974961049_201994234_n
Amedai pia kuwa camera iliyotumika ni Red ambayo huchukua picha zenye ubora mkubwa zaidi.
Previous
Next Post »