Chelsea wakamilisha usajili wa Michy Batshuayi


Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji aliyekuwa anaichezea Marseille Michy Batshuayi kwa £33m.
Kuanzia msimu ujao Chelsea itaanza kunolewa na aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Italia katika michuano ya Euro 2016 Antonio Conte.
Michy-Batshuayi
Batshuayi mwenye umri wa miaka 22, amesaini mkataba wa miaka mitano ya ndani ya Stamford Bridge London England.
Previous
Next Post »