Klabu ya Chelsea imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ubelgiji aliyekuwa anaichezea Marseille Michy Batshuayi kwa £33m.
Kuanzia msimu ujao Chelsea itaanza kunolewa na aliyekuwa kocha wa timu ya taifa ya Italia katika michuano ya Euro 2016 Antonio Conte.

Batshuayi mwenye umri wa miaka 22, amesaini mkataba wa miaka mitano ya ndani ya Stamford Bridge London England.
ConversionConversion EmoticonEmoticon